Kumekuwa na kesi tofauti juu ya kudukuliwa kwa mifumo ya matokeo vyuoni na kubadilishwa. Kwa mfano alikuwa amefeli mwanafunzi ila mfumo unadukuliwa na kuandikiwa PASS.
Sasa naomba kujua hii huwa haiwaletei shida pale wanapo maliza masomo yao kwamba ikaonekana walifeli mwaka flani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.