Sijawahi kuona mtu hana maarifa kama wewe! Kakae ufundishwe forex vzuri ndo uje na huu uongo wako maana ata wanaokuuliza wenyewe wanashangaa unajibu nini
Nimeonaa unatumia hii picha kwenye kila mjadala wa kupinga forx trading, bro fanyaa research kwanzaa kabla hujalepa poyoyo zakoo uku. Uku sio facebook unaingia na kulog out. Kuna mjadala ulikuwa hivi hivi ukasema sijui akubali kutoa $1000/800 kama contracts in which uo ni uongoo na utapeli acha...
Bro usibishane na mtu ambae hajui kitu. Ogopa mtu ambae anarelay kwenye google🤣 yaan muogope sanaa. Sasa mtu anauliza adi kama forex trading ni betting au sio betting na anaambiwa kabisa na bado haelewii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.