Wakuu mwaka huu ukiwa C 3 huendi 4m5 maana utakua na div 4 ya 32 lazima uwe C 4 Ambayo ni div 3 ya 31 na ndiyo ya mwisho hapo a-level itakuhusu, WEIT SELECTION
Natanguliza shukrani za dhati kwenu, Wakuu ningependa kufahamishwa kati ya hiz comb. HGK, HGL na HKL ipi ni best na yenye maslahi kwa badaye, itakuwa bora zaidi kama mnaweza kunielezea cozi ya kila comb at chuo kikuu na soko la ajira ya kila komb. Aksanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.