Recent content by skale jorde

  1. S

    Dr. Slaa, Mbowe, Mbatia, Makaidi, Seif, Jussa na Lissu. Nani atafuata?.

    Muda wowote lolote laweza tokea. Mfano, Lowassa kuja ukawa, au Prof. kuwa mwanachama co mwenyekiti. Alfi kuja Ccm au Lembeli kuja Chadema. Jamani mwanasiasa kinyonga.
  2. S

    CUF: Taarifa kwa waandishi wa Habari juu ya Kujiuzulu Mwenyekiti Prof. Lipumba

    Prof. Katoa sababu zake, swali je! zina mashiko?
  3. S

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    Kweli gwanda ni kwa Fidel Casto tu, na Che G. wenzetu mgambo wa jiji.
  4. S

    Josephine Mushumbusi: Mwanamke aliyeota kuwa na asiye na hadhi ya kuwa First Lady

    Kweli brother, ifike sehemu tujadili mambo yakujenga. Tanzania ni yetu wote na tuijenge wote.
  5. S

    Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

    Aliisaac umeongea vzr tujaribu kuchunguza, tusiwe wepesi kufokezana jamani. Tzna yetu
  6. S

    Baada ya Lowassa kuhama CCM hali ilivyo Monduli

    Nichangamoto ktk chama tu, but with money you can buy position, but not respect.
  7. S

    Kwanini CCM wameumizwa sana na Lowassa kuhama chama?

    Kwa wakristo mkeo awe mzinzi, mchawi, mwizi, muhuni, au umemfumania. Ndoa yenu inavunjwa na kifo tu, Nina la Bwana litukuzwe. Amen.
  8. S

    Kwa yaliyotokea CHADEMA, tujifunze kuwa huru na sio kuwa mfuasi

    Analipiza kukatwa but, the one who pursues revenge should dig two graves.
  9. S

    Azam Two wanaonesha mchakato mzima wa uchaguzi Dodoma lakini TBC bure kabisa

    Azam TV ongereni sana. Wakati meri ya MV. Spice inazama tbche walikuwa wanaonyesha taharabu. Tusishangae Leo wako Kwene kipindi cha mapishi na sio Dodoma. Laana ya mazee wangu Tido inaendelea kuwatafuna.
  10. S

    Kutoka Dodoma: Fedha za kuhonga wajumbe wa NEC ya CCM zakamatwa!

    In mwanzo tu, tutajionea mengi sana.
Back
Top Bottom