Recent content by sizonjemadawa

  1. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Akikujibu nijulishe maana dsm wanataka vitu vya kunukia
  2. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Duh wa zaman una ubora sana au kuliko mpya au kutokana na cost za storage
  3. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Ahsante mkuu maana hapo juu kuna jamaa kaniambia upo mpaka wa 44000 na niliulizia uyole wakaniambia greade A 1800 B 1650 C 1500
  4. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Mkuu mbona mbeya nimeukizia kwa jamaa bado upo juu hujashuka sana
  5. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Mkuu nakuja inbox
  6. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Mkuu naeneo ya uyole
  7. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Aaaaah chief ww ni afisa tii araaa eiii nini
  8. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Yaan ukitengeneza keyboard unaitumia fresh unaweza kuja icheki mkuu
  9. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    230 mkuu
  10. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Mkuu najua bei yake ndio
  11. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Nipo victoria karibu na makumbusho
  12. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Mkuu uko mbali sana
  13. sizonjemadawa

    Naomba kujua bei ya mchele mbeya

    Habarini wakuu Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu naomba kwa mtu anayefahamu au yupo mkoa wa mbeya hasa pale uyole naomba anifahamishe bei ya mchele kuanzia grade 1 mpaka 3 kwa sasa Angeniambia bei ya mashineni ningeshukuru sana
  14. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Mkuu labda wasitokee wanaoipenda kama ww
  15. sizonjemadawa

    Laptop gb 500 kwa 250k tu

    Habarini wakuu nauza laptop aina ya sony vio kwa 250,000 Specification Intel pentium Ram 4gb Hd gb 500 64 bit Matatizo Baadhi ya batani hazibonyezeki ni ya kubadilisha mother board Betri haikai na chaji Nb Laptop inawaka na naitumia ukiipenda nicheki
Back
Top Bottom