Recent content by Siti

  1. S

    Nahitaji mkopo

    Duh kweli dogo una stress za maisha ila usinikasirikie mie bana kukosa kwako ajira usiweke chuki kwa wengine aliyepewa kapewa
  2. S

    Nahitaji mkopo

    Thanx man you are a great thinker, bahati nzuri ni juzi tu nimepiga bonge la ishu mie na wenzangu nimetoka na kitu ka 2.8M,watu waache kashfa wengine tuko vitengo vyenye monie,nilitaka loan kwani nilikuwa na hitaj la haraka wakati ule
  3. S

    Nahitaji mkopo

    Kwikwikwi watu wanastress humu ndani balaa wanahis kila mtu katoka uchagan kama wao take a chill pill guys usimkashifu mtu usiomjua
  4. S

    Nahitaji mkopo

    Nitailipa through makato ya salary dhamana ni ajira yangu riba iwe km za benk nyingine kwenye mkopo binafsi
  5. S

    Nahitaji mkopo

    Nipo dsm nahitaj 5m
  6. S

    Nahitaji mkopo

    Shukrani kwa ushauri ila naishi gest na gharama ni kubwa
  7. S

    Nahitaji mkopo

    Mimi ni mwajiriwa serikalini, nina miezi miwili kazini nahitaji mkopo kwa ajili ya accomodation na furnitures.kama kuna taasisi inakopesha kwa masharti nafuu naomba kufahamishwa nimejaribu nmb na crdb wamenambia wanataka salary slip za miezi 3 nami sina afu ninahitaji la haraka la kupata malazi...
Back
Top Bottom