Naona watu wengi wanajadili sana uchaguzi wa marekani na ushindi wa trump, wengine wanaponda wengine wanapongeza, em tuwe na akili, tusianze kumjadili mtu kabla ya kuona utendaji wake ukoje, tisubiri tuone utendaji ndo tuponde au tupongeze,co kukurupuka tu, na hata hapa kwetu ilikua hvyo hvyo af...