Pole sana mpendwa nami pia nina changamoto ambayo ni kwenye upande wa majina Cheti cha Secondary herufi ya kati (initial) haina nukta halafu Cheti cha Diploma herufi ya kati (initial) ina nukta. Nilihangaika na kwenda Chuo nilichosoma ndio wakanieleza hiyo shida hapo juu, wakaandika barua...
Hiki kitu jamani kinanitesa sana mimi, nikijaza details za Diploma kwenye registration number naletewa message registration number or examination year are not found in their database. Ila niliwasiliana na Chuo nilichosoma wananiambia matokeo walishayapeleka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.