Yan kilimo kuwepo tu kwny moyo 2 ni hatua kubwa sana yan ni kama hatua ya awali alaf mambo mengne yatafata.
Ni rahis sana kufanikiwa kwny kitu ambacho unakifanya huku unapenda kukifanya ( unapenda unachofanya)
Yan hata km kitu kina faida lakin km huna mapenz nacho itakuwa ni vigum sana...
Nalimia wilaya ya Igunga(Tabora) pia na Tabora Manispaa
Mbegu inategemea na eneo lenyewe unalolima km ni kwny miinuko au mabonden
Mfano me ninalima kwny maeneo yote hayo, kw upande wa miinuko ninatumia
1. NERICA 02 ( TUMAINI )
* Mavuno ni tani 3-4 kwa hekta moja
*Muda wa kukomaa ni siku...
Kumbukumbu zikinijia nakumbuka siku ile ilikuwa ni siku ya furaha sana kwangu na kwa familia kwa pamoja. Siku ambayo dada yangu aliolewa, kila mwana familia na ndugu tulikuwa kwenye furaha isiyokifani, tulisherehekea kana kwamba hakukuwahi kutokea wala hapatatokea tena harusi kwenye ukoo wetu...
Kabla hata sijamaliza kusoma shahada yangu ya kilimo (general agriculture) pale chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine, swali ambalo nilikuwa najiuliza mara kwa mara je hivi nikimaliza kusoma hapa nisubiri kuajiriwa au ninaweza kujiajiri mwenyewe
Kadri nikiendelea na masomo swali hili lilikuwa bado...
Kabla hata sijamaliza kusoma shahada yangu ya kilimo (general agriculture) pale chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine, swali ambalo nilikuwa najiuliza mara kwa mara je hivi nikimaliza kusoma hapa nisubiri kuajiriwa au ninaweza kujiajiri mwenyewe.
Kadri nikiendelea na masomo swali hili lilikuwa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.