Recent content by Siraji66

  1. Siraji66

    Changamoto gani iliopo kwenye biashara ya dagaa

    Huju bei inabadirika badirika lakn kama gunia la debe 10 ni 370 hadi 400 like kubwa la kusafirisha lina hadi 770 ila kuna siku inashuka lakn ukitaka uchukulie kisiwan ndoo bei inakua chini zaidi kama me nachukulia kisiwani inakua chini Zaid maan naanik mwenyewe
  2. Siraji66

    Changamoto gani iliopo kwenye biashara ya dagaa

    JamanI mimi nataka nifanye biashara ya dagaa nakua nasafirisha kutoka mwanza kupereka songea na iringa je ni changamoto gani ninaziweza kukutana nazo. Nahitaji TahadharI, faida zake na hasara zake kabla sjaamua kuanza kufanya biashar rasimi maana uzoefu ninao ila sio kuuzia nje ya mkoa
  3. Siraji66

    Ni biashara gani naweza kuifanya kwa Mtaji wa million 25

    Best Kwang ni biashar yoyte ya jumla yaaan biashar ya kununua na kuuza kitu kwa bei ya jumla mfano kutoa dagaa mwanza kupeleka nje kama dar dom songea mbeya n.k au hata samaki unaanza kwa kwa hela kidg ata mil 2 tyu ukiona inalipa unaongeza tena mbili ila ni vzur magazine yako yalipo ndoo ikawa...
  4. Siraji66

    Ni biashara gani naweza kuifanya kwa Mtaji wa million 25

    Hapo usitake uweke 25 yote tafta biashar ambayo ipo rohon weka ata 3 m tyuu badae utakua unaongeza mdg mdg unatanua biashara sasa
  5. Siraji66

    Biashara ipi ya mtaji wa milioni moja ina faida kubwa?

    Nikiwa na one million naweza fanya biashara gani na ikanipa faida nzur msaada apo
Back
Top Bottom