Recent content by Sir Mo45

  1. S

    Je, ni sahihi kiwanda cha TOOKU F kuwatisha wafanyakazi kuwa wakiacha kazi hawatapewa mafao licha ya kumaliza mikataba yao?

    Je, hii ni sahihi ikiwa mfanyakazi yupo kwa mkataba na mkataba wake umefika ukomo na ameandika Barua ya kuacha kazi mwezi mmoja kabla ya ukomo wa mkataba wake, lakini Mwajiri Badae anasema hakuna kuacha kazi na ukiacha Basi stahiki zako za NSSF hutapata. Hii imetokea Kwenye kiwanda kimoja cha...
Back
Top Bottom