Recent content by Sir Major

  1. S

    Mbinu chafu za CCM kuvuruga uchaguzi mdogo wa Madiwani Arusha zafichuka!!!!

    Watu tunatarajia uchaguzi wa haki, amani na utulivu kumbe wao wanapanga kutumia hila kishinda. Hapo sasa Dunia haina siri
  2. S

    Mbinu chafu za CCM kuvuruga uchaguzi mdogo wa Madiwani Arusha zafichuka!!!!

    Habari za kuaminika zinasema kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameingiza nchini makontena Nguo-Gwanda, T-Shirts, Kofia, Kadi, Bendera za CHADEMA nk kutoka nchini China. Mavazi sambamba na kadi hizo yatavaliwa na kutumika maalum kufanya fujo na matukio ya uvunjifu wa amani katika sehemu...
  3. S

    BAVICHA hakukaliki! Viongozi wa juu waandaliwa maandamano nchi nzima...

    Pm7 on work, Huyu Katibu wa BAVICHA Tanga ni mmoja wa wale wasaliti 1.Juliana Shonza, 2. Mtela Mwampamba na 3. Habib Mchange wanaotumiwa na Zitto Kabwe kukivuruga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
  4. S

    BAVICHA hakukaliki! Viongozi wa juu waandaliwa maandamano nchi nzima...

    Pm7 on work, Huyu Katibu wa BAVICHA Tanga ni mmoja wa wale wasaliti 1.Juliana Shonza, 2. Mtela Mwampamba na 3. Habib Mchange wanaotumiwa na Zitto Kabwe kukivuruga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
  5. S

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    Acha ujinga wewe, kadi ni mali ya aliyeinunua, uamuzi wa kuichana, kuichoma moto au kuirudisha kwenye chama husika ni uamuzi wa mwenye kuimiliki. Hakuna mwenye mamlaka ya kumpangia Dr. Slaa kuirudisha au kutorudisha kadi ya CCM kwasababu hakuna sheria inayoelekeza au kulazimisha Mwanachama...
  6. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Zitto ni kama mbwa tu ndani ya CHADEMA kelele zake haziwezi kuvunja banda!
  7. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Kama Zitto sio Mkuki unaotumiwa na kurushwa na CCM kukiangamiza CHADEMA iweje kila mara yanapotokea madhara pasipokujali kwamba chanzo ni yeye au wengine anatetewa zaidi na wanaCCM kuliko wanaCHADEMA? Au ndio tuseme anachukiwa? Na kama jibu ni ndio swali ni je kwanini achukiwe? Tonge la...
  8. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Zitto Kabwe => Yuda Iskariot! Mbona huyu ni CCM tangu zamani na hajawahi kuwa CHADEMA hata siku moja! Ambacho wengi hamkijui ni kwamba akifanyacho ZZK ni kutekeleza Project ya hela ndefu aliyopewa na Jk ambayo kengo kuu ni kukipasua vipandevipande na kukivuruga kabisa Chama cha Demokrasia na...
  9. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Dalili mojawapo ya mimba ni tumbo kuongezeka ukubwa!
  10. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Zitto alishanunuliwa na Jk tangu muda mrefu ili kutumika kuvuruga CDM na sasa yuko mbioni anataka kuozeshwa mtoto wa Rais kabisa ili kujiongezea umaarufu utakaompa nguvu ya kupambana kinyume na Dkt Slaa kwa malengo ya kupelekea mpasuko na mvurugano ndani ya CDM.
  11. S

    Huyo ndiye Ben Saanane na majibu ya Zitto

    Mimba isiyo yako uchungu wa kuzaa unautolea wapi? Sasa kama Zitto ndiye msaliti unataka tuache kumpa ukweli tukupe wewe?
  12. S

    Huyo ndiye Ben Saanane na majibu ya Zitto

    LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO LAJA! Kama yasemwayo ni mambo ya uongo na yanayolenga zaidi katika kumchafua Zitto iweje kila mara yeye tu ndio ahusishwe na tuhuma za usaliti? Je kwani ni uongo kwamba Zitto ana mahusiano ya karibu na Jk? Je ni uongo kwamba Zitto amekuwa katika mahusiano na mtoto...
  13. S

    Huyo ndiye Ben Saanane na majibu ya Zitto

    LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO LAJA! Kama yasemwayo ni mambo ya uongo na yanayolenga zaidi katika kumchafua Zitto iweje kila mara yeye tu ndio ahusishwe na tuhuma za usaliti? Je kwani ni uongo kwamba Zitto ana mahusiano ya karibu na Jk? Je ni uongo kwamba Zitto amekuwa katika mahusiano na mtoto...
  14. S

    Huyo ndiye Ben Saanane na majibu ya Zitto

    LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO LAJA! Kama yasemwayo ni mambo ya uongo na yanayolenga zaidi katika kumchafua Zitto iweje kila mara yeye tu ndio ahusishwe na tuhuma za usaliti? Je kwani ni uongo kwamba Zitto ana mahusiano ya karibu na Jk? Je ni uongo kwamba Zitto amekuwa katika mahusiano na mtoto...
  15. S

    Huyo ndiye Ben Saanane na majibu ya Zitto

    LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO LAJA! Kama yasemwayo ni mambo ya uongo na yanayolenga zaidi katika kumchafua Zitto iweje kila mara yeye tu ndio ahusishwe na tuhuma za usaliti? Je kwani ni uongo kwamba Zitto ana mahusiano ya karibu na Jk? Je ni uongo kwamba Zitto amekuwa katika mahusiano na mtoto...
Back
Top Bottom