Baba mzazi hajaulizia, ila ndugu yake ambaye ni shangazi yake tuliye naye huu mkoa mimi nilipo ndo ameamua kufikisha hizo taarifa kwa baba wa binti, hivyo mzee akaona nisiendelee na binti yake
Nlikubali kuwa nimefanya makosa kama wanavyosema ila nilipenda nimpe binti heshima yake kama wazazi wanavyotaka ila naona wananiwekea ugumu sana kweny hilo
Nitangulize samahani zangu kwa wakubwa nitakao wakwaza lakini uzi huu ni kutaka ushauri tu hvyo naomba mawazo yenu
Iko hivi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kwa muda wa miaka mi 3 sasa,
Tulianza mahusiano tukiwa mkoa mmoja (X), then yeye alipata kazi mkoa mwingine (y) ila ni mikoa karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.