Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mimi ni Mwalimu kutoka Geita, Tanzania.
Nina mahusiano na wanawake zaidi ya mmoja, changamoto iliyopo huwa ninashindwa kumtambua mwanamke mwenye mapenzi ya dhati kwangu.
Ninaomba usaidizi wa mambo gani nitakayoyazingatia kumtambua...
Pole sana dada yake na mimi kwa changamoto hiyo ya kimahusiano, nafikiri ni changamoto ya mahusiano ya pande zote hata wanaume tunazipitia lakini mi ningependa kabla sijakushauru nirejelee reflection ya literally works zinamchora mwanamke as a tool of sex kwa mwanaume kwo wanaume wengi bado tuna...
Pole sana dada yake na mimi kwa changamoto hiyo ya kimahusiano, nafikiri ni changamoto ya mahusiano ya pande zote hata wanaume tunazipitia lakini mi ningependa kabla sijakushauru nirejelee reflection ya literally works zinamchora mwanamke as a tool of sex kwa mwanaume kwo wanaume wengi bado tuna...
1. Mwanamke ambaye ninamzidi miaka 3, ni mwanachuo wa Bachelor, ni Mhehe kwa kabila, anapenda kusifiwa ndo furaha yake, anaishi na wazazi wake wote wawili na ndugu wengine kama kaka zake, dada zake na wadogo zake, ananipenda sana na anapenda WhatsApp video call tukiwa mbali naye.
2. Ni mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.