walimu wa cheti wanaanza na Tgts B na wanapanda hadi Tgts G deploma wanaanza na Tgts C na wanapanda hadi Tgts H degree wanaanza na Tgts D wanapanda hadi Tgts I hii ni kulingana na walaka mpya cheti na deploma wameongezewa madaraja mawili degree wao wameongezewa daraja moja tu
walimu wanaotuburuza no hawa was grade A yaani wanatumiwa na serikali ya CCM kama gari la taka hawajitambui na ndio wanaokwamisha kila kitu kwa kuibeba CWT sisi University Teachers hatutaki kuchangamana na hawa vilaza wanaosubiri madaraja ya mserereko pasipo kujiendeleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.