Recent content by sintosh

  1. sintosh

    Mahakama ya Pakistan yamwachia huru Mbakaji baada ya kukubali kumuoa aliyembaka

    Ndiyo, hiyo ni sheria ya dini. Kumbukumbu la torati 22:28-29 inasema "28 Mtu mume akimwona binti aliye mwanamwali ambaye hajaposwa, akamshika na kulala naye, wakaonekana; 29yule mwanamume aliyelala naye na ampe baba yake yule binti shekeli hamsini za fedha, kisha na awe mkewe, kwa kuwa...
  2. sintosh

    Msaada unawezaje kuona contents za simu kwenye computer bila kutumia waya?

    Tumia app ya xender, chagua option ya connect to pc
  3. sintosh

    PS3 modding & cfw installation

    acha kudanganya watu, it is impossible to downgrade/jailbreak ps3 superslim na baadhi ya slim models labda uwe unamaanisha backup injection ambayo siyo jailbreak.Njia pekee ya kujailbreak ps3 ni kuidowngrade mpaka firmware 3.55, kitu ambacho hakiwezekani kwa superslim model
  4. sintosh

    Magaidi wanachafua dini

    kwa maelezo zaidi soma HAPA
  5. sintosh

    Ifanye simu yako kuwa private daima

    hiyo app ya mtk engineering Ipo already installed kwenye kila android device yenye processor ya mediatek, ili kuipata ingia kwenye dialer kisha andika *#*#3646633#*#* ,then itafunguka. pia inategemea na mtengenezaji wa device yako, si kila device itakupa option kama alizozitaja mtoa uzi
  6. sintosh

    Msaada hapa anayejua tatizo

    Check APN yako inawezekana unatumia apn ya WAP
  7. sintosh

    Msaada ABS light kwenye dashboard

    Inawaka muda nikiwasha gari na baada ya muda inazima
  8. sintosh

    Msaada ABS light kwenye dashboard

    inawaka nikiwasha gari na baada ya kuendesha kwa muda inazima
  9. sintosh

    Msaada ABS light kwenye dashboard

    habari wakuu ABS light ikiwaka kwenye dashboard inatoa alert gani au kuna tatizo gani kwenye gari....?
Back
Top Bottom