Ndiyo, hiyo ni sheria ya dini. Kumbukumbu la torati 22:28-29 inasema
"28 Mtu mume akimwona binti aliye mwanamwali ambaye hajaposwa, akamshika na kulala naye, wakaonekana; 29yule mwanamume aliyelala naye na ampe baba yake yule binti shekeli hamsini za fedha, kisha na awe mkewe, kwa kuwa...
acha kudanganya watu, it is impossible to downgrade/jailbreak ps3 superslim na baadhi ya slim models labda uwe unamaanisha backup injection ambayo siyo jailbreak.Njia pekee ya kujailbreak ps3 ni kuidowngrade mpaka firmware 3.55, kitu ambacho hakiwezekani kwa superslim model
hiyo app ya mtk engineering Ipo already installed kwenye kila android device yenye processor ya mediatek, ili kuipata ingia kwenye dialer kisha andika *#*#3646633#*#* ,then itafunguka. pia inategemea na mtengenezaji wa device yako, si kila device itakupa option kama alizozitaja mtoa uzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.