Pengine kwa sababu anajulikana ni mdau mkubwa wa soka, anatokea Singida na alishawahi kumiliki timu ya mpira huko nyuma. Hatuwezi kuwazuia kuwa na hisia hizo.
Ni kuwaelewesha tu taratibu. Ipo siku wataelewa.
Kampuni yetu haiko listed hivyo sio mali ya umma. Tukitangaza kuuza hisa au kutafuta washika dau au ikiwa listed kwenye masoko ya hisa, basi tutaweka hadharani shareholders wote. Kwa sasa hatuoni ulazima wa kufanya hivyo.
Siri ya yote haya ni taaluma. Tunafanya kila kitu kwa kuzingatia weledi na kufanya utafiti wa kutosha. Wadhamini wengi tuliowafuata na tunaoendelea kuwafuata wanashawishika na namna tunavyojieleza kwao, wakiangalia dhamira na mipango yetu wanaamua kutake risk na kuwekeza. Ni jukumu letu...
Asante kwa maoni mdau.
Tungependa tufafanue kama ifuatavyo:
1. Timu yetu haiendeshwi na Mwigulu Nchemba wala kiongozi yoyote wa serikali. Upotoshaji kama huu ndio umefanya tuje na uzi maalum kuweka rekodi sawa.
2. Tuna wadhamini wa kutosha na tumeingia mikataba na makampuni yote kwa umakini...
Ndugu WanaJF,
Karibuni kwenye uzi maalum wa klabu yetu ya Singida Big Stars. Kupitia uzi huu mtafahamu masuala mengi kuhusu klabu yetu ambayo ni mgeni wa Ligi Kuu Tanzania Bara na msimu huu ukiwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki Ligi Kuu ya NBC (2022/2022).
HISTORIA
Klabu ya Singida Big...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.