SIRI YA MAISHA NA KIFO CHA MELANIE CHUMA 02
“Karibu sana ndugu Patrice” akasema Dr Fabian “Mheshimiwa Rais Dr Fabian kwanza ninakushukuru sana kwa namna ulivyojitahidi katika kikao kuwashawishi marais wakubali ombi la nchi yangu kujiunga na Jumuiya hii.Ni muda mrefu tumekuwa tukiitafuta...
SIRI YA MAISHA NA KIFO CHA MELANIE CHUMA
( SIMULIZI YA KIJASUSI
EP 01
ARUSHA
Kikao cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya hiyo yaliyopo Arusha Tanzania kilimalizika kwa mafanikio makubwa. Kikao hicho cha kawaida kilichohudhuliwa na marais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.