Unaleta hisia binti, watu hawafanyi vurugu kama wana njia mbadala wa kutatua kero zao. watanzania hawahitaji kuchochewa ili wajue ni nini wananyimwa au wapi wanaonewa. kudhani kuwa wasingetoka kupigania haki zao kama wasingechochewa ni kuwatukana kwamba hawana akili. mpaka waambiwe na mtu...
Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo,
Mbunge wa Arusha Mjini,
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa heshima na taadhima, ninayo furaha kubwa kukuandikia waraka huu kama kijana na mkazi wa Arusha, nikiwa miongoni mwa waliothamini kwa dhati utumishi wako wa dhati kwa watu wa jiji letu na taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.