hawa ndio wana wa arusha na wapiga kura sio kama wale wa kusombwa na malori kutoka mikoani, Kiwanda cha A-Z,waliongwa 10,000, walioletwa toka pwani,singida na Dar. Hao wanaoshangilia ndio wapiga kura halisi wa arusha hyo mengine ya uwanjani ni mafuriko ya kutengeneza na maigizo.
Wanaccm na Watu wanapashana habari za hapa na pale hapa uwanjani wanasema wamekuja tu basi ili kuokoa jahazi la kutokupata maudhurio ya watu ila kura zao kwa lowassa na Lema. Wakiwa na maana ya mchana wapo ccm na usiku ukawa na kura zao ukawa
Naona polisi wanawafukuza vijana wa bodaboda waliopo nje ya uwanja na hawataki mikusanyiko ya watu barabarani wanaogopa magufuli kuzomewa. Msihofu nina imani wana wa arusha Ni wastaarabu na watapata fiesta ya bure na kumsikiliza magufuli ilimradi wamsimtukane mbunge wetu Lema na raisi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.