Recent content by Simba lunyasi

  1. Simba lunyasi

    Mwambieni Jean Othos Baleke aje haraka sana atuombe Msamaha Simba SC, akikaidi Kocha Gamondi ataendelea Kumkandia aione Tanzania Chungu

    Hivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redioni?
  2. Simba lunyasi

    FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

    Mkuu simba hamna kitu, kumbuka huu ushindi wa bahati nasibu huwa haudumu
  3. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Mkuu kwa huu mpira huu wa papatu papatu sirudi ng'oo
  4. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Shangaa nawewe mkuu, yani watu wanataka kukunipangia furaha yangu
  5. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Swadakta. Lakini boli kiwanjani linatembea balaa, na hicho ndio cha msingi
  6. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ila hii timu ya yanga tatizo lake ina majina mengi ya kutaniwa, mara yeboyebo, mara mgongowazi, mara utopolo
  7. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Mkuu nimeshtoka huko, na hii week inayoqnza kesho nanunua jezi kabisa, Simba uwongo uwongo ndio mwingi, tunadanganywa tumesajili wachezaji bora, benchi la ufundi bora, ila njoo uwaone sasa uwanjani[emoji706][emoji706]
  8. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Kwa sasa nimehamia Yanga, ya huko mbeleni anayejua ni Mungu
  9. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Na haibadiliki, propaganda nyingi sana ila uwanjani vululuvululu
  10. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Ni uamuzi binafsi mkuu, kuwa na amani hapo ulipo
  11. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Sawa mkuu, mimi ndio nimeshamove on ivoo. Na nimefollow page yao Instagram. Natarajia mambo makubwa kwa hii timu ambayo hayakuweza kufikiwa huko nilipokuwa, nawaona wanaenda kuteka soka la vilabu barani Afrika, labda itokee ajali za kimpira maana mpira unakuwaga na suprize zake
  13. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    Unaanipangia timu yakushabikia? Ilo la mpila ni makosa ya kiuandishi
  14. Simba lunyasi

    Nimehamia Yanga Rasmi

    We ushabiki wako umefata nini?
Back
Top Bottom