Recent content by Silvanus Mgaya

  1. S

    Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

    Sio lazima wote tujue kiingereza! hii ni lugha ya wasomi kwa hapa kwetu
  2. S

    Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

    Siku Bado Haijaisha Ngoja Ifike Saa Sita Za Usiku Ndio Itafahamika
  3. S

    Hawa ndio walimu wetu wapya

    Umeishiwa Story! Huo Ni Uongo Hakuna Mwl Anayeweza Kusema Hivyo
  4. S

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    Asante Kwa Ushauri Bro Pia Inatakiwa Kuwa Makin Ktk Ufuatiliaji Wa Hizo Pesa Kwa Mfano Nauli Vinginevyo Unaweza Kuzurumika Mana Wajanja Ni Wengi! Nawatakieni Maandalizi Mema, Ualimu Ni Kazi Rahc Ila Kuna Baadh Ya Walimu Wanacomplicate Mpaka Tunaona Ni Mgumu.
  5. S

    Kumbe naibu waziri mhagama alikua sahihi kabisa

    Mi Nafikir Kama Hamtaki Ijira Zitoke Saku Ya Fools Day, Tuiombe Serikal Ili Ajira Zitoke May Mos Yaani Ck Ya Wafanyakazi!
  6. S

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Tuvute Subira Wadau Ajira Zipo Tu Kwaajili Yetu!
  7. S

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Kama Wewe Ni Mwalimu Masikin, Ni Upumbavu Wako Na Mipango Yako Mibovu Ila Sio Walimu Wote Masikini.
  8. S

    Kwa waliosikiliza TBC leo asubuhi,kuhusu ajira za walimu.

    Mlioangalia Taarifa Ya Habar Asubuhi Mtuhabarishe, Sina Uhakika Na Hiyo Taarifa Hata Kidogo!
  9. S

    Nimepata Dv 1 ya 14 na Kazi yangu ya Houseboy inanilipa...

    Nenda Kwanza Katafute Pesa! Sio Lazima Usome Sasa Elimu Ipo Tu Mdogo Wangu! Then Unaweza Kupata Chance Ya Kusoma Mbele Ukawa Umeongeza Cv Yako! Komaa Nao Wackilize Wanachokitaka! Jenga Uhusiano Nao Zaid
  10. S

    Ajira za walimu, kawambwa anena

    Ajira Zitatoka Kama Yalivyotoka Matokeo Ya Form 4 Kwn Waliongea Xana Mwisho Necta Ikamaliza Utata! Xo Tusiamini Kila Kitu Ndg.
  11. S

    Ajira kwa walimu tarajari 2013.

    Bro Acha Kupost Habar Zisizokuwa Na Uhakika! Bora Ukaekimya Kama Hujui. Isitoshe We Sio Mhanga
  12. S

    Hatimae mh. Jenista Mhagama anena kuhusu ajira za walimu wapya

    Hayo Maswala Ya Rasim Ya Katiba Cjui, Hatutaki Kuyackia Shv! Kinachomata Ajira Kwanza Mengine Yatafuata
Back
Top Bottom