unachokisema kiko wazi kabisa!!!! hata mimi mwenyewe nashangaaa na inauma sana pale nilipopata taarifa kwamba hadi kufikia wiki iliyopita wanafunzi wa conas walikua hawajaliona bum la kwanza semister hiii!!!! huu ni uozo na umaskini wa fikra!!!! tutaendelea hivi hadi lini?????
unachokisema kiko wazi kabisa!!!! hata mimi mwenyewe nashangaaa na inauma sana pale nilipopata taarifa kwamba hadi kufikia wiki iliyopita wanafunzi wa conas walikua hawajaliona bum la kwanza semister hiii!!!! huu ni uozo na umaskini wa fikra!!!! tutaendelea hivi hadi lini?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.