Recent content by ShukuNundu

  1. ShukuNundu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Chui wa kijani tupe lonja ya polisi wanaaachia lini pdf?
  2. ShukuNundu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Nyomi ilikuaje mwamba?
  3. ShukuNundu

    Msaada wa kutatua shida hii Ajiraportal

    Oh thread kuileta hapa cna uwezo ila solution ndo nilii note. Kwa kazi zenye category nyingi ikigoma tu rudi kwenye academic qualifications badili category yako kwenda nyingine. Save rudi kuapply ikishakubali rudi weka category yako ile ile ya zamani ilikokuwa inagoma.
  4. ShukuNundu

    Msaada wa kutatua shida hii Ajiraportal

    Poa Njaa. Niliomba TMO II
  5. ShukuNundu

    Msaada wa kutatua shida hii Ajiraportal

    Asante kwa ushauri nimeufanyia kazi na nimepata thread iliyosolve tatizo hilo. Kiufupi nilijaribu ku-search kbla kabisa ikawa inaniambia error fln siwezi ku search licha ya kuwa logged in. For now imekubali ku-search
  6. ShukuNundu

    Msaada wa kutatua shida hii Ajiraportal

    Na je mbona awamu iliyopita ilikuwa hivi hivi nikajaribu mara kadhaa ikakubali maombi yakaenda vizuri tu kwanini iwe wakati huu nimeomba category hiyo hiyo na kazi hiyo2 mara mbili
  7. ShukuNundu

    Msaada wa kutatua shida hii Ajiraportal

    Habari, kwa anayejua suluhu ya "application failed" kwenye ajiraportal ilihali upo kwenye category sahihi na ulishawahi ku apply awali but for now inagoma mno. Nani alishapata solution?
Back
Top Bottom