Lololololololol umekosea, jaribu tena rafiki. Majimbo ya Carolina ni joto kali sana ziko pwani ya mashariki ya marekani. Jimbo la Dakota iko Kaskazini.
Unafanya kazi gani katika Usa? Kwa hivyo, una mapendekezo kwa Gyms, migahawa, na mahali kukutana na Watu? Ni muhimu nitafuata watu wanaokimbia na kuinua uzito.
Hamjambo!
Nitaenda nchi la Tanzania kukaa katika eneo la mto wa Usa. Mini ni mtu mweusi na mwanaume. Ninataka kuunganisha na jamii ya Usa. Je, kuna vitambaa amavyo ninapaswa kuvaa? Nikitaka vitambaa vilivyotengenezwa, nitanunua wapi?
Nitapofika ninaweza kupata wapi vikundi vya kijamii, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.