Mkuu nimekuelewa Sana ila napenda kufahamu kutoka kwako na kwa yeyote mwenye kufahamu vipi kuhusu Hawa AliExpress wako vizur maana sijawahi kulitumia ila ndio nataka niagize mzigo kupitia wao wajuzi NAOMBA ufafanuzi Asante.
Nahitaji msaada na ushauri wenu wa dhati WAKUU,kuna kitu huwa kinanisumbua Sana sielewi tatizo NI nini.kwenye Koo LANGU KUNA kitu nakisikia Kama kimekwama Sasa nashindwa kuelewa NI kitu gani maana nikiwa nakula sikisikii Wala nikinywa maji sikisikii Bali nikiwa nameza mate ndiyo huwa nakisikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.