Habari ya mida hii ndugu zangu, mimi naitwa Shabani Kibwe nipo pande za Chalinze, Mimi ni msanii naimba music bongo fleva na tayari nisharekod wimbo kadhaa ninazo ila kiukweli bado sijampata mtu wa kuweza kunipa msaada yani meneja wa kusimamia kazi zangu.
Hivyo inasababsha nakosa nia na uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.