umeandika kama kila mtu anajua namna ulivyo na labda unaona kama tunaJua unachopitia. Hebu jaribu kujibu haya maswali
1. Una shida gani ya kimuonekano maana. Umesema namna ulivyo.
2. Kwenye miaka hiyo uliyonayo unajilinganisha na nani mpaka upate depression? Kama yupo acha mara moja kila mtu...
Kwa uchumi upi huo wa kwa lulenge wa kupata 500k? Huyu alikuwa anajibrand ili apate watu wa maana wa kumpelekea hiyo 500k. Naona alikuwa mtakatisha fedha tuu kanisa lilikuwa kivuli cha kujifichia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.