Recent content by Shitumbula

  1. S

    SoC02 Mambo haya yanaweza kuboresha Sekta ya Michezo nchini Tanzania

    Kwa muda mrefu sana nchi yetu imekuwa ikipambana kwa kila hali ili kuhakikisha inajiweka kwenye nafasi nzuri katika sekta ya michezo hususani kwenye mashindano ya kikanda, bara na yale ya kimataifa. Jitihada hizi zimekuwa zikifanyika mara kwa mara lakini bado mafanikio yake hayaendani na...
  2. S

    Serikali mbona mna huruma wakati biashara za utapeli zinafanyika kwenye majengo yenu hapa Kahama

    Unatarajia serikali hapo ifanye nini wakati jiografia ya Kahama inapakana na maeneo mengi ya wilaya zenye vijana wengi waliomaliza kidato cha nne na hata hawajui wafanye nini licha ya kuwa na ardhi nzuri, mifugo mingi, misitu, na madini ya kutosha. Ikiwa hakuna mipango endelevu juu ya rasilimali...
Back
Top Bottom