Kuna jamaa anaenda Malawi anakuja na Massey nzuri na bei yake huwa around 9-12 Million.yeye ni fundi huwa anaenda kununua spares na off-farm tractors.anapatikana mpakani mwa malawi na Tz.
Miezi 4 iliyopita alikuwa na Tractor zuri.hali yangu haikuruhusu sikuweza kulichukua.
Jamaa anaitwa Chawinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.