Habari wapendwa Mimi ni msichana mwenye umri was miaka 22, niliyesomea kozi ya secretary chuo cha utumishi wa umma. Hivyo basis kwa yeyote mwenye kampuni au kwa MTU mwenye uhitaji was Secretary mwenye uzoefu naomba ani pm.
Asanteni nashkuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.