Recent content by shinjikagawa

  1. S

    Mamlaka inawezaje kumshikilia mtu aliyejisalimisha kulipa City Service Levy?

    Nauliza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo wanatoa wapi nguvu ya kumshikilia mfanyakazi wa kampuni kwakuwa kampuni haijalipa CSL na huyo mfanyakazi ameenda hapo ofisini kwao kwaajili ya kuomba kulipa kwa installments?
Back
Top Bottom