Recent content by shimboni mene

  1. S

    JamiiForums Tanzania Lengai Ole Sabaya aachiwa Huru kwa sharti la kutofanya kosa la Jinai kwa kipindi cha mwaka mmoja

    Yesu hakuja kwa watu wema, Bali wenye dhambi!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Simbachawene apendekeza Watumishi wa Umma wasiingie ofisini na simu

    Hii ni aibu ya Mwaka! Karne hii? Aisee Mhe. Umeteleza sana, shughulika na masuala ya msingi achana na hii kitu maana matokeo yake utashindwa badae utaonekana hufai!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mahojiano ya BBC na Waziri Tax yalipokwenda mrama

    Nadhan Mhe. Tax ni mzoefu sana kwenye platforms za kimataifa. Atakuwa alinusa maswali yanayofuaya... Kama Upunga..akaamua kukwit
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize, kichaka cha Hayati Magufuli kimeisha sasa

    Kaishia kuwaita Mijitu na Wapumbavu ahahahah Yule bwana alimtukana injinia wa maji huko kusini kuwa '..utaniambia nini kilaza mkubwa wewee
  5. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kaniangusha na kunisononesha sana ripoti ya CAG 2021-2022

    Nanyie mkaibe?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tunaposema tutamkumbuka Hayati Magufuli anayekuwa akipinga hilo ni wafuja pesa za wananchi!

    Kwa mara ya kwanza leo nimemuona Mama kakasirika, mpaka kawaita watoto wa mjini-Mijitu! Katukana Stupid yaani pumbavu! JPM alishawahi kutukana kuwa '..mambo ya kipumbavu...' Mkasema ninyi hamjalelewa kufokafoka bali kalamu itaongea-SI-KWA TANZANIA!Mama kaza wabongo noma
  7. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna mtu kakopa benki zetu 5 katoweka

    Umejua leo damu yangu?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Bashungwa: Rais anayefuata baada ya Samia?

    The fact to be reckoned
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

    Siyo Mchamba-wima?
  10. S

    JamiiForums Tanzania Madai ya Zitto ya vijana wa Usalama wa Taifa kuua viongozi wa dini msikitini ni mazito sana. Ukweli ujulikane isijekuwa anataka sifa za kiha

    Lisu alikuwa anapewa hela na wana ACCASIA. Na pesa alikuwa anazipokelea Nairobi!
  11. S

    JamiiForums Tanzania Madai ya Zitto ya vijana wa Usalama wa Taifa kuua viongozi wa dini msikitini ni mazito sana. Ukweli ujulikane isijekuwa anataka sifa za kiha

    Mbona wanaosali Kariakoo hawauawi? Tafakari-Chukua hatua! Hata yeye Zito, akishirikiana na waarifu anapotea, nampa tu kama inyo na anajua fika kitakachompata! Hakuna wa kuwavulia viatu waarifu!
Back
Top Bottom