Baada ya utata wa umri kumuandama Sitti Mtemvu aliposhiriki kwenye mashindano ya Miss Tanzania hadi kupelekea kuvuliwa taji, kwa sasa jinamizi hilo limemuibukia upya baada ya kujiingiza kwenye medani za Siasa akiwania kiti Ubunge kupitia UVCCM mkoa wa Morogoro, licha ya kubebwa na baba yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.