Mshana Jr mbona mambo ya kawaida hayo. Sio picha tu, hata ukisikiliza miziki uliyowahi kusikiza kama miaka mitano nyuma utajiwa na kumbukizi nyingi za matokeo yaliyo kutokea wewe au watu uliokuwa nao wakati huo na kuakisi hali halisi ya sasa
Ukweli ni kule mtu kujiaminisha kua asemalo au analo liamini kuwa ni Ukweli na akawa na uwezo wa kutetea analolisema au kuliamini kwa hoja madhubuti zitakazo weza waaminisha wanaomfuata au kumsikiza kuwa asemayo ni kweli tupu.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.