Recent content by sheddyrobby

  1. sheddyrobby

    Serikali iangalie upya mfumo wa kuajiri

    Guys yaani mifumo ya ajira za watz mbona kama zina watu frani tu..... yaani juzi tumeenda utumishi dar tumejibiwa utadhani ni wakimbizi.... yaani mtu akiisha kuajiriwa basi kuwahudumia wenzake inakuwa kero kwake....... Heeeeh Mora tupe yaliyo yako
  2. sheddyrobby

    Serikali iangalie upya mfumo wa kuajiri

    Mi naona replay ziko tofauti sana yaan ukiona mtu anakosoa kosoa post kama izi ujue ana kazi tayari yaani hana shida ila masikini sisi..... Heeeeh Mungu ona na hili.
  3. sheddyrobby

    Ajira portal Utumishi unaweza kudelete sehemu yoyote ulipokosea lakini kipengele cha education qualifications No!

    Mkuu kama ulifanikiwa niambie nami niende maana huu utaratibu wao unasumbua saaana yaani mpaka unajiona hujasomaa.... yaan natam niupload na receipt za malipo ya ada ili waakikishe nimesoma kweli
Back
Top Bottom