wadau nasikia biashara ya uyoga inalipa sana. Naomba kufahamishwa yafuatayo:-
Ni kweli kuwa ni biashara nzuri?
Je marketing yake ipo wapi na ni namna gani inafanywa?
Anae jihusisha na hio biashara inatakiwa bora alime mwenyewe ama tu hata kufuata kwa wale wanao lima hilo zao?
Ni wapi hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.