watu wanakuwa na iman kubwa kweny fx kuliko uhalisia wenyew mtu ukijiuliza tu kwamba fx ndyo biashara yenye mzunguko mkubwa na inalipa . sasa kwanin matajiri top ten dunian wasiwe ni fx traders? yani fx ingekuwa na uwezo wa kukulipa hata asilimia mia ya pesa yako kwa mwaka bas hta tajir namba...
Broh sijui kwakweli lakini forex ni kupoteza muda sana na watu wengi wanapata hela kwa kuuza services either signal au cousre lakini kupata fedha kwenye soko uongo mzee na wengi wanaamin fx ina hela kwa kuaminishwa na mentor lakini ukimuuliza mtu onyesha account history atazunguka mara sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.