Shukran sana ndugu yangu ila sasa hapo kwenye kuanza tena veta sijakupa vizuri kuna umuhimu Gani wakuanza veta mana Nina F moja tu ya matheF, History C kiswahili C, biosD,geogD,englishD Na civicsD kuna ulazima wa kuanza tena kukwenda veta?
Habar zenu jamani mi ni mgeni humu ndan nina shauku ya kujua kuwa naweza fanya kazi ya aina gani baada ya kusomea it?.
Na pia kama nilisoma mchepuo wa arts o- level na mathematics nilifeli je yawezekana kusomea hiyo koz?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.