- Nimejaribu kufatilia mahitaji ya eneo kuanzisha shule ni ekari 3, na kwa maeneo niliyopo heka Moja naweza pata kwa 20M sasa namna ya kukusanya hiyo pesa ndio changamoto kwangu au nitumiale mkakati gani kuweza kuipata
Habari,
Kwa muda sasa tangu nimehitimu chuo Kikuu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha na kumiliki shule ya Awali na Msingi japo kuwa tangu nimalize chuo mwaka 2018 sijafanikiwa kupata ajira hivyo nimekuwa nikijiajiri mwenyewe kupitia kituo Cha Masomo ya ziada ( Tuition Center) na Chekechea.
Je Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.