AAR
Nilitaka Recomend AAR, sababu ndo bima nayotumia muda mrefu, na so far so good, ila kwa rate hizi na yanayosemwa kuwa NHIF wamekuwa bora zaid, nadhani wajaribu, na ulete mrejesho.
Kuna Mjadala mkali sana Unaendelea twitter, kuhusu domestic violence. Ukihusisha watu wa kawaida, celebrities, Twitter influencers wadau wa haki za wanawake "Feminist" nchini Tanzania.
Mjadala umechagizwa zaidi na video ya mdau mmoja, ambaye alionekana akimpiga vibaya mke wake, ni mtu ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.