Habari wana JF
Mimi nimechaguliwa kujiunga na chuo cha Kampala Dar sasa nilikua naomba kujua kuhusu admission letter yaani joining instruction maana kwenye website haipo na sijatumiwa kwenye email yangu sasa nifanyeje maana kazin ili nipate ruhusa wameniambia mpaka joining ndo napewa ruhusa.
Below is the list of students selected to join KIU Dar es Salaam College for those applicants who applied to KIU through central Admission System (Click the item to view the list)
Business and Management
Medicine
Medical Laboratory Science
Pharmacy
Computer Studies...
majibu yako hayana busara maana kama kitu sikijui ni vizuri kunielekeza ndo ubinadamu kama nimekukwaza kwenye hiyo post yangu basi nisamehe mkubwa maana sipendi malumbano na mtu
Habarini wana jamii forum mimi nauluza kuhusu hizi joining instruction za chuo baada ya kua selected je unatumiwa kwenye email yako au utaipata wapi na je huwa zinakawia sana au saelection zikitoka na zenyewe zinatoka hapohapo
wanaokiponda ni wale wanaojiona wako deep na chuo chao cha udsm wakati wapo kitaa udsm wengi wamasugua rami acheni kudharau vyuo mandeziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kuna watu mnapenda sana kudharau vyuo vingine mbona kuna waliosoma udsm wapo mtaani wanasugua rami kutafuta kazi mchana kutwa na bado wanapigwa fimbo na vyuo vingine sa hivi watu wanaangalia uchapa kazi sio kujivuna eti kisa umetoka udsm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.