Habari ndugu zangu,
Waswahili wanasema katika maisha ni muhimu kuwatafutia wanao mama aliye bora.
Na hivyo bila hiana nimeona humu JF naweza pata mke bora maana naamini humu watu wenye sifa ya kuwa wake bora wapo wengi hivyo kama una sifa hiz karibu;
1. Uwe muislamu
2. Uwe na rangi atlest...
Habari ndugu zangu,
Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye:
1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini
2. Umri wangu 34
3. Rangi ni mweusi
4. Muislamu
Ili mafanikio yapatikane ni kuwa na mke bora ambaye atakuwa na sifa zifuatazo:
1. Awe Muislamu
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.