Anatakiwa kijana aliyemaliza chuo ngazi ya degree.
Awe na ujuzi wa kusajiri majina ya biashara na Kampuni,kutoa ushauri wa kibiashara, kufuatilia leseni za Biashara nk.
Akiwa Arusha itapendeza zaidi.
anaweza kupiga simu no +255 27 2976666
kwanza utatakiwa kuwa na jina la biashara au kampuni ambayo mwisho lazima iwe na finacial services,microfinance,micro credit na vitu kama hivyo.
2. uwe na kielelezo cha mtaji wako ambao sio wa mkopo usiopungua milioni 20.
3. Utaenda BOT Kanda uliyopo utapewa formu yenye mahitaji muhumu kama...
anatafutwa kijana wa kufanya kazi ya stationery ARUSHA. Awe na Elimu kuanzia kidato cha nne,ujuzi wa computer, graphics.
tuma cv yako kwa no 0782396666
Anahitajika kijana wa kiume au wa Kike.
umri 20 to 25 yrs
Eneo la kazi : Arusha
Elimu: degree ya masoko au sheria
hakuna uzoefu unaohitajika.
Mawasiliano: 0782396666
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.