Mbuzi wa bei ya juu sana NI TSH 330,000/= bei ya kuuza.
Na wa bei ya chini sana ni TSH 130,000/= bei ya kuuza.
Cha kuzingatia kwa huyo wa bei ya chini NI Kwamba ana umri zaidi ya mwaka mmoja kama sheria inavyotaka kwa mbuzi wa Udh-hiya.
Habari za muda huu wanajukwaa.
Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo.
Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
Habari za muda huu wanajukwaa.
Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo.
Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.