إنا لله و إنا إليه راجعون.
Pole sana mheshimiwa Rais.
Pole sana mheshimiwa Wanu Hafidh Ameir.
Pole sana familia yote ya marehemu mzee Hafidh Ameir Hassan.
Pole sana Wana Kizimkazi.
Pole sana Wazanzibari wote.
Na pole sana watanzania wote.
MSIBA WA MHESHIMIWA RAIS NI MSIBA WETU.
ASALI YA UNGA ni mchanganyiko wa asali ya nyuki na mimea na iko katika mfumo wa unga kama vile uonavyo maziwa ya unga japo hii rangi yake ni kijani ambayo haijakolea.
Ladha yake ni tamu kama glucose hivyo haijatiwa ndani yake sukari ya aina yoyote.
Tunapatikana makutano ya barabara ya Shaban Robert na Mafuta Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Kwa walio mbali na Moshi tunatuma kwa njia ya mabasi na posta kwa gharama za mteja.
IJUE ASALI YA UNGA ( POWDERED HONEY)
Dawa ya asili yenye maajabu ya kipekee.
Ni dawa iliyotengenezwa kwa mchanganyiko wa ASALI NA MIMEA (mitishamba au mimea tiba )
NI dawa ambayo imeonyesha mafanikio makubwa kwa kutibu maradhi mbalimbali kama vile:
1.Maumivu ya kichwa , mgongo, kiuno , magoti...
Mbuzi wa bei ya juu sana NI TSH 330,000/= bei ya kuuza.
Na wa bei ya chini sana ni TSH 130,000/= bei ya kuuza.
Cha kuzingatia kwa huyo wa bei ya chini NI Kwamba ana umri zaidi ya mwaka mmoja kama sheria inavyotaka kwa mbuzi wa Udh-hiya.
Habari za muda huu wanajukwaa.
Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo.
Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
Habari za muda huu wanajukwaa.
Wakazi wa manispaa ya Moshi na viunga vyake mnakaribishwa sana kununua mbuzi na kondoo kwa ajili ya sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ambayo inatarajiwa kufika ndani ya siku chache zijazo.
Moja ya ibada kubwa katika kusherehekea sikukuu ya Eid Al- Adh-haa ni kuchinja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.