Mizinga ipo ya bei tofauti tofauti, ukinunua Mizinga yetu nyuki tunatoa kama huduma.
Ila usiponunua Mizinga yetu, Tunauza Makundi ya Nyuki Tshs.30,000/=.
Mizinga ipo ya;
A. 75,000/=
B. 120,000/=
C. 150,000/=
D. 180,000/=
Tofauti ni idadi ya Mazao ambayo utavuna kwani kuna vifaa mbalimbali...