Harafu haya mambo yakuulizana uzoefu ni kama kumchosha mtu anaetafuta kazi, hivi mtu amesoma mpaka chuo kikuu bado anahitaji experience ya kazi? Hizo field alizokuwa anafanya kazi pindi akiwa kwenye masomo zilikuwa zinamaanisha nini?
Umeelewa maada yangu vizuri? Sema haujajua nachomaanisha, ukiona msomi amefikia hatua yakutafuta kazi basi ujue mawazo madogo madogo ameshayachambua ila kuna changamoto zake, Ni kheri mtu kama huna connection tulia tu.
Natafuta kazi nipo mkoa wa Tabora. Pia hata kufundisha masomo ya sayansi ya sekondari yaani Physics, chemistry,computer, na mathematics naweza. Kwa yeyote mwenye connection msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.