Recent content by SeriuosIdea

  1. S

    Natafuta kazi ya kujitolea mimi ni Mwalimu wa Biology na Geography

    Harafu haya mambo yakuulizana uzoefu ni kama kumchosha mtu anaetafuta kazi, hivi mtu amesoma mpaka chuo kikuu bado anahitaji experience ya kazi? Hizo field alizokuwa anafanya kazi pindi akiwa kwenye masomo zilikuwa zinamaanisha nini?
  2. S

    Nimesoma IT, natafuta kazi

    Umeelewa maada yangu vizuri? Sema haujajua nachomaanisha, ukiona msomi amefikia hatua yakutafuta kazi basi ujue mawazo madogo madogo ameshayachambua ila kuna changamoto zake, Ni kheri mtu kama huna connection tulia tu.
  3. S

    Nimesoma IT, natafuta kazi

    Natafuta kazi nipo mkoa wa Tabora. Pia hata kufundisha masomo ya sayansi ya sekondari yaani Physics, chemistry,computer, na mathematics naweza. Kwa yeyote mwenye connection msaada
Back
Top Bottom