Recent content by serena2606

  1. S

    Who is the next target?

    Maliasili na utalii
  2. S

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Ufafanuzi ulishatokewa na ikulu , lakini bado watu wanakaidi , kinachotakiwa hapo ni supporting docs zinazoonyesha safari yako haiko funded na serikali , end of story
  3. S

    Kigogo wa BoT azuiwa Airport kutokana na kukosa vibali vya kusafiri nje ya nchi

    Aliambiwa atoe supporting documents zinazoonyesha kuwa safari yake haikuwa funded na government , lakini hakua nazo ! "Big up immigration officer "
  4. S

    Mjengwa, Mbwambo, Kubenea, Manyerere, Waandishi, walishindwaje kubaini madudu ya Bandari na TRA?

    Uandishi wa habari si kazi rahisi kama wengi wanavyofikiria , it is a matter of life or death ! Waandishi wa habari hawana ID fake kama za hapa jamii forum , majina yao yako wazi , sio kazi rahisi
  5. S

    Wakurugenzi na wakuu wa Mashirika na idara hizi wangeachia ngazi tu mapema

    Huko sio majipu tu , bali ni cancer !!
  6. S

    Wakurugenzi na wakuu wa Mashirika na idara hizi wangeachia ngazi tu mapema

    Duuh , hii ni serikali yote ! Imejaa uozo
  7. S

    Mshahara wa mbunge ni milioni 3.8 kwa mwezi, Posho ya Ubunge ni..

    Nafikiri wabunge walipwe kutokana tu na masaa wanayokaa bungeni , na sio kwa siku nzima ambayo ina masaa 24 , na pengine bunge lilikaa madaa 8 tu !!
  8. S

    Mchanganuo wa sitting allowance kwa Bunge zima kwa miaka 5

    Mmmh ! Hii ni zaidi ya hatari
Back
Top Bottom