Salaam kwa wote,
Ninavyojua mimi kuhusu lugha ni kwamba mpaka neno liwe kwenye kamusi ndio linakubalika kwa maana lililolpewa. Na kila lugha inaongeza maneno kwa njia hiyo. Kigezo kimojawapo ni idadi ya watumiaji. Je Tigo linaeleweka kwa asilimia kubwa ya wa Tanzania?
Tuendelee kujadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.