Naona kama labda sijaeleweka vizuri.
Mimi dashboard yangu inaonesha nitakuwa na interview za aina 2 yaani written test halafu namalzia na vipimo vya afya.lakini jamaa zangu kama 3 hvi wao dashboard yao inaonesha watakuwa na interview za aina 3 yaani written,vipimo vya afya halafu wanalzia na...
Wadau naomba kuuliza hivi unaweza kupangiwa usaili wa mchujo(witten test) halafu usipangiwe usaili wa mahojiano(oral test)?
Maana nimepangiwa usaili wa mchujo pekee lakini sijapangiwa usaili wa mahojiano lakini wenzangu kama watatu hivi wao wamepangiwa mpaka usaili wa oral.
Naombeni msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.